Skip to main content
Cover of Maajabu
Description

Watoto huvutiwa zaidi na hadithi za kustaajabisha hasa za kubuni. Akili zao changa huamini wanayosimuliwa bila kudadisi, hali inayowafanya kufuatilia hadithi kwa makini. Katika kitabu hiki, mwandishi amelenga matukio yasiyo ya kawaida ambayo, bila shaka, yatawachekesha wasomaji. Mbali na kuwaburudisha, hadithi hii itawafundisha watoto msamiati wa wanyama, majina ya vyumba tofauti katika nyumba pamoja na kazi zinazofanywa nyumbani.

Book details
Format
Paperback
ISBN
9789966066435
SKU
9789966066435
Delivery type
physical
Publisher
Storymoja Publishers
Language
Kiswahili
Publication date
2024-01-01T00:00:00+00:00
Shipping & returns

Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.

Book information

Maajabu

Muthoni Muchemi

Author:
Muthoni Muchemi
Language:
Kiswahili
Published:
2024
Collection:
The Nairobi Int'l Book Fair Sept 23-27

Paperback

KES 400.00
1

This edition is currently out of stock.

Maajabu
KES 400.00
Currently unavailableNo edition is available to buy right now.
ReturnsEligibility confirmed at checkout.
Maajabu | eKitabu