

Description
Watoto huvutiwa zaidi na hadithi za kustaajabisha hasa za kubuni. Akili zao changa huamini wanayosimuliwa bila kudadisi, hali inayowafanya kufuatilia hadithi kwa makini. Katika kitabu hiki, mwandishi amelenga matukio yasiyo ya kawaida ambayo, bila shaka, yatawachekesha wasomaji. Mbali na kuwaburudisha, hadithi hii itawafundisha watoto msamiati wa wanyama, majina ya vyumba tofauti katika nyumba pamoja na kazi zinazofanywa nyumbani.
Book details
- Format
- Paperback
- ISBN
- 9789966066435
- SKU
- 9789966066435
- Delivery type
- physical
- Publisher
- Storymoja Publishers
- Language
- Kiswahili
- Publication date
- 2024-01-01T00:00:00+00:00
Shipping & returns
Delivery methods, digital access, taxes, and return eligibility are confirmed during checkout for the selected edition and destination.
Book information
Maajabu
Muthoni Muchemi
- Author:
- Muthoni Muchemi
- Language:
- Kiswahili
- Published:
- 2024
- Collection:
- The Nairobi Int'l Book Fair Sept 23-27
Paperback
This edition is currently out of stock.






